Huyu kiongozi vipi kumtishia mfichua ufisadi?
NI nani anayestahili kuitwa mkorofi kati ya mwakilishi anayeiambia ukweli serikali ili ijirekebishe au kujisafisha penye madoa, na yule anayetishia hatima ya kisiasa huyo anayeamini anachokisema ni sahihi? Nadir Abdulatif … Continue Reading Huyu kiongozi vipi kumtishia mfichua ufisadi?