Kutafuta, kudai na kusimamia jema, siku zote kuna dhoruba, maafa na mikiki, wakati mwengine ya kukatisha tamaa kabisa. Kama kutafuta jema ni rahisi, basi ingekuwa rahisi kazi ya Mitume wa Mungu, maana waliteuliwa na Mungu kusimamia kazi ya Mungu.

Jana, Leo na Kesho
Kutafuta, kudai na kusimamia jema, siku zote kuna dhoruba, maafa na mikiki, wakati mwengine ya kukatisha tamaa kabisa. Kama kutafuta jema ni rahisi, basi ingekuwa rahisi kazi ya Mitume wa Mungu, maana waliteuliwa na Mungu kusimamia kazi ya Mungu.
Katika kile kinachoibua hisia za Maalim Seif Sharif Hamad kwa kusalitiwa na baadhi ya jamaa zake wa Pemba kwenye mgogoro wa chama chake unaoendelea sasa, Katibu Mkuu huyo wa Chama cha Wananchi (CUF) ametoa kauli kali zaidi kuwahi kutolewa naye hadharani dhidi ya kundi la wanasiasa hao waliomgeuka, hasa Khalifa […]
Akiorodhesha mifano kadhaa iliyotokea tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu uliopita, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, ameituhumu Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) chini ya uongozi wa Dk. Ali Mohammed Shein kwa kuendesha nchi kwa misingi ya ubaguzi wa uzawa na uvyama. Hayo ameyasema leo […]
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema amefarijika sana kuona Kanisa la Kilutheri la Tanzania (KKKT) limetoa waraka wa kuzungumzia hali halisi ya nchi katika wakati ambapo vitendo vinavyokinzana na misingi ya taifa vikishamiri, akieleza kwamba si sahihi kuwakataza viongozi wa kidini kutoa maoni yao […]
Kuna wanaohoji kwamba mgogoro uliopandikizwa kwenye Chama cha Wananchi (CUF) unaweza tu kumalizika kwa katibu mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, kukaa kitako na aliyekuwa mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, kuyazungumzia wanayotafautiana. Mtazamo wa mazungumzo ndio unaonekana, kijuujuu, kutajwa pia na Profesa Lipumba mwenyewe, ambaye katika siku […]