Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Prof. Ibrahim Lipumba, hana hadhi ya kujiita mpinzani wa kweli dhidi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), bali ni msaliti anayeitumikia CCM kuichafua CUF kwa sababu ya kutimiza maslahi ya wanaomtuma. Hayo ameyasema kwenye […]
