Ufuatao ni mjadala kati ya Wazanzibari watatu – Balozi Ali Karume, Bwana Salim Msom na Wakili Awadh Ali Said – juu ya mada tete ya kuyalinda mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, ambao ulianza kutokana na mchango wa Bwana Salim katika moja ya majukwaa ya mitandaoni yanayowakutanisha Wazanzibari. Usome kwa […]
