Loading …
Skip to content
  • HABARI
  • ZAIMA TV
Zanzibar Daima

Jana, Leo na Kesho

Primary Menu
  • UCHAMBUZI

Jussa

  • Home
  • Jussa

Jussa amvaa Zitto uongozi ACT

Published on : February 25, 2020 Published by : Weyani Media

Jussa anakuwa mwanachama wa tatu wa ACT Wazalendo kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo, akitanguliwa na kiongozi anayetetea nafasi yake, Zitto Kabwe, na Joseph Mona, ambaye hivi sasa ni Katibu wa mkoa wa Katavi.

Tagged in : ACT Wazalendo Bimani Jussa uchaguzi Zanzibar
Categorized in : Habari/News

Maalim Seif hajashindwa kuirejesha haki ya Oktoba 25 – Jussa

Published on : March 27, 2018 Published by : Zanzibar Daima

Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa CUF, Ismail Jussa, amesema kuwa katibu mkuu wa chama chake, Maalim Seif Sharif Hamad, bado hajashindwa hadi sasa kuirejesha haki yao iliyoporwa ya ushindi wa uchaguzi wa tarehe 25 Oktoba 2015 na kwamba anaendelea na juhudi za kidiplomasia kuirejesha, hadi […]

Tagged in : cuf Jussa Zanzibar
Categorized in : HABARI

CCM hawaambiani ukweli – Jussa

Published on : December 31, 2015February 5, 2016 Published by : Zanzibar Daima

Tokea Chama cha Mapinduzi (CCM) kupata kipigo cha kihistoria katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa tarehe 25 Oktoba, 2015 ambapo kilizidiwa na Chama cha Wananchi (CUF) kwa kura 25,831 kimekuwa kikiweweseka kwa madai ya kwamba kimeibiwa kura kisiwani Pemba na hivyo kutoa mashindikizo kwamba matokeo ya uchaguzi huo yafutwe.

Tagged in : CCM cuf Jussa Zanzibar
Categorized in : HABARI

Tafuta

Recent Posts

  • Pole, Polepole!
  • Masikini CCM yangu, mbona tumekubali kushindwa na mapema?
  • Mapokeo ya Membe, Maalim Seif kwa picha
  • Membe, Maalim Seif wapokewa kishujaa Unguja
  • Maalim Seif asema Jaji Mutungi ana kisasi na ACT Wazalendo
  • Mazrui, Jussa wachukuwa fomu uwakilishi
  • Maalim Seif achukuwa fomu kuwania Urais 2020
  • CCM Micheweni wakimbilia act-wazalendo
  • Micheweni wamchangia Maalim Seif kuwania urais
  • ACT-Wazalendo yakemea rushwa kwenye uchaguzi
  • ZEC yatangaza vituo vya uandikishaji
  • Jussa amvaa Zitto uongozi ACT
  • Sasa ni rasmi, Maalim Seif kugombea
  • Kobe Bryant aaga dunia
  • We Harvest the Present from the Future We Planted Yesterday: A Conversation with Abdilatif Abdalla and Ngugi wa Thiong’o
  • Taswira ya Upotoshaji Kwenye Mahusiano ya Waafrika na Waarabu
  • Mafuta yapanda bei baada ya mashambulio Saudia
  • Familia ya Mugabe kutokubaliana na serikali ya Zimbabwe juu ya mazishi ya Robert Mugabe
  • Robert Mugabe awagawanya Wazimbabwe katika kifo chake
  • Watanzania waombwa kujitolea viungo vya maiti
  • HABARI
  • ZAIMA TV
Zanzibar Daima

Jana, Leo na Kesho

Zanzibar Daima