Viongozi wawili waandamizi wa chama cha ACT Wazalendo, Nassor Mazrui na Ismail Jussa, wamechukuwa fomu hivi leo (19 Julai) kuomba ridhaa ya chama chao kuwania uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.

Jana, Leo na Kesho
Viongozi wawili waandamizi wa chama cha ACT Wazalendo, Nassor Mazrui na Ismail Jussa, wamechukuwa fomu hivi leo (19 Julai) kuomba ridhaa ya chama chao kuwania uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.