Waliokabidhiwa kadi hizo ni Asha Juma Mjaja, Laila Rashid Haji, Rashid Haji Juma, Kombo Said Kwale, Bakame Juma Mjaja, Rashid Ali Juma.

Jana, Leo na Kesho
Waliokabidhiwa kadi hizo ni Asha Juma Mjaja, Laila Rashid Haji, Rashid Haji Juma, Kombo Said Kwale, Bakame Juma Mjaja, Rashid Ali Juma.
Wafuasi na wanachama kadhaa waliojitokeza kwenye ukumbi wa ofisi za ACT Wazalendo Micheweni waliimba kwa furaha na hamasa wakimuhakikishia kiongozi wao huyo kwamba bado wana imani naye kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar.
Chake-Chake, PEMBA: Chama cha ACT-Wazalendo kimeapa kuwachukulia hatua za kinidhamu wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho watakaobainika wakijihusisha na vitendo vya rushwa. Kauli hiyo imetolewa leo (Juni 30) na Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akizungumza na wanachama wa mkoa wa Chake […]
Jussa anakuwa mwanachama wa tatu wa ACT Wazalendo kuomba ridhaa ya kuwania nafasi hiyo, akitanguliwa na kiongozi anayetetea nafasi yake, Zitto Kabwe, na Joseph Mona, ambaye hivi sasa ni Katibu wa mkoa wa Katavi.
Makamu huyo wa kwanza mstaafu wa Rais wa Zanzibar anaingia kwenye kinyangànyiro ya uwenyekiti wa chama chake kipya ambacho alijiunga nacho mwaka mmoja uliopita.