Viongozi wawili waandamizi wa chama cha ACT Wazalendo, Nassor Mazrui na Ismail Jussa, wamechukuwa fomu hivi leo (19 Julai) kuomba ridhaa ya chama chao kuwania uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.

Jana, Leo na Kesho
Viongozi wawili waandamizi wa chama cha ACT Wazalendo, Nassor Mazrui na Ismail Jussa, wamechukuwa fomu hivi leo (19 Julai) kuomba ridhaa ya chama chao kuwania uwakilishi kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020.
Maalim Seif, ambaye kama akipitishwa atakuwa anawania nafasi hiyo kwa mara ya sita mfululizo, alisema kuchukuwa kwake fomu hiyo hakumaanishi kwamba milango imefungwa kwa wanachama wengine wenye nia ya kuwania wadhifa huo.
Waliokabidhiwa kadi hizo ni Asha Juma Mjaja, Laila Rashid Haji, Rashid Haji Juma, Kombo Said Kwale, Bakame Juma Mjaja, Rashid Ali Juma.
Wafuasi na wanachama kadhaa waliojitokeza kwenye ukumbi wa ofisi za ACT Wazalendo Micheweni waliimba kwa furaha na hamasa wakimuhakikishia kiongozi wao huyo kwamba bado wana imani naye kuwania nafasi ya urais wa Zanzibar.
Chake-Chake, PEMBA: Chama cha ACT-Wazalendo kimeapa kuwachukulia hatua za kinidhamu wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya chama hicho watakaobainika wakijihusisha na vitendo vya rushwa. Kauli hiyo imetolewa leo (Juni 30) na Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Maalim Seif Sharif Hamad, wakati akizungumza na wanachama wa mkoa wa Chake […]