Yapata miaka miwili sasa tokea nipate kumjuwa Ndugu Ali Hilali Ali, nilishawishika kuomba urafiki kupitia mtandao wa ‘facebook’ kutokana na michango na elimu yake anayotoa kwa jamii kupitia ukuta wake huo, kutokana na uungwana wake mkubwa hakusita kukubali ombi langu na toka hapo tumekuwa tukiwasiliana mara kwa mara kupitia kuta […]
