
Mshauri Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amerejesha rasmi fomu yake ya kuwania uwenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi huu wa Februari 2020.
Jana, Leo na Kesho
Mshauri Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amerejesha rasmi fomu yake ya kuwania uwenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi huu wa Februari 2020.