
Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS), Wakili Omar Said Shaaban, anazungumzia haki za raia awamo mikononi mwa polisi, akifafanuwa kwa undani kipi na kipi ni stahiki ya raia, upi ni wajibu wake na zipi njia za kufuata.
Jana, Leo na Kesho
Rais wa Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS), Wakili Omar Said Shaaban, anazungumzia haki za raia awamo mikononi mwa polisi, akifafanuwa kwa undani kipi na kipi ni stahiki ya raia, upi ni wajibu wake na zipi njia za kufuata.