Zanzibar iliingia katika historia ya kupewa uhuru wake kutoka kwa Muingereza na serikali ya kwanza ikaundwa visiwani katika uongozi wa Waziri Mkuu Mohamed Shamte chini ya utawala wa kifalme.

Jana, Leo na Kesho
Zanzibar iliingia katika historia ya kupewa uhuru wake kutoka kwa Muingereza na serikali ya kwanza ikaundwa visiwani katika uongozi wa Waziri Mkuu Mohamed Shamte chini ya utawala wa kifalme.
Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyoundwa mwaka 2010 baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu imesaidia kumaliza uhasama, chuki, dharau na mambo mengine ambayo yaliwagawa Wazanzibari tangu ulipoingia mfumo wa vyama vingi hapa nchini mwaka 1992.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad (pichani), amesema kumekuwapo na wimbi kubwa la uvunjwaji wa haki za binadamu unaosababishwa na vyombo vya dola pamoja na wananchi.