
Inna lilahi Wainna Illaihi Raajuni Zanzibardaima imepokea taarifa ya kifo cha Msanii maarufu wa filamu nchini Tanzania anaejuulikana kwa jina Juma Kilowoka maarufu kama (Sajuki )msanii huyo amefariki duni alfajiri ya kuamkia leo katika hospitali ya Taifa muhimbili jijini Daresalam.
Ineleweka kwamba msanii huyo alikuwa anauguwa na maradhi yaliosababisha uvimbe ndani ya Tumbo lake lakini kwa msaada wawasamaria wema waliweza kumchangia na kumfanya apate matibabu nchini India ambapo hali yake iliendelea kuimarika na kuwa nzuri kwa afya yake badae na baadae kurudi Nchini Tanzania.
Baada ya kurudi nchini Tanzania msanii huyo aliona ni busara kwenda kuwashukuru baadhi ya watu waliosabaisha kufika kwake India kwa matibabu na baadhi ya mashabiki wake ndipo alipoamua kuenda Mkoani Arusha takribani wiki moja iliopita kwa lengo la kutoa shukrani kwa wakaazi wa jiji hilo kutokana na ushirikiano wao waliouwonesha kwake wakati akiugua,Jijini Arusha alipokelewa na Umma mkubwa wawatu uliofika hapo kwa ajili ya kumuona msanii huyo lakini kutoka na watu kuwa wengi sana waliofika kumuona kukampelekea Sajuki kupata mshituko wa Moyo ghafla na kuanguka chini na badala yake kukimbizwa hosptil kwa ajili ya matibabu zaidi lakini kwa kudra ya Mwenyezimungu ameweza kumchukua kiumbe wake alfajiri ya kuamkia leo.
Kwa hisani ya Abdalla Abeid
innalillahi wainna ilayhi rajiuun
mungu ailaze roho ya marehemu sajuki pema peponi
Ameen
Poleni wapenzi wote wa Sajuki ambaye ni msanii wa filamu za kitanzania. Je hajawahi kuona umati wa watu kama hao? Labda Mola alikuwa anamuhitaji na muda wake umefika.
L.W.K.
Cha msingi ni kumuombea dua njema tu huko aendako
Sadaktaa
Innaalillaahi wainnaailaihi raajiuun. Kwa hakika kifo cha sajuki ni pigo kubwa katika tathnia ya filamu nchini Tanzania, mola ailaze roho yake mahala pema, aaammiin.
mungu katuumba kwa usiri mkubwa sema, kazi yake haina makosa R.I.P. sajuki tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi
Yah Nainshallah mwenyezimungu amjalie awe miongoni mwa wakaazi wa peponi
innalillahi wainnaillahi rajiun
ameen
inalillahi wa ina illahi rajiun
Mwenyezimungu amjalie awe na makaazi mema peponi inshallah Ameen
ni kumshukuru mungu,kwani kazi ya mungu haina makosa,mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amen.
Ameen
MUNGU ALITOA MUNGU AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE.AMIN
ameen
May his Soul Rest in Peace
Asante aziza kwa dua yako kwaki na Inshallah Mwenyezimungu atamjaalia awe mkaazi wa Peponi Ameen
May Almighty God Rest His Soul In Eternal peace-AMEN
Ameen
mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,na ampe moyo wa ujasiri wastara kwani hiyo yote ni matihani ya mwenyezi mungu.
Ameen
R.i.p sajuki mungu akupokee mikonon mwake salama
Ameen
R.I.P Sajuki.
Ameen
mungu ampe wepesi huko aendako
Ameen
duh!mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi na aipe nguvu familia ya sajuki amen
Ameen
r.i.p
RIP
Kazi yake mola aina makosa mungu amulaze mahali pema amen.
AMEEN
NIKWELI