
WAMWANZO kushoto ni Kaimu Meneja wa radio Jamii Micheweni (RJM) Pemba, Ali Massoud Kombo akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Mifugo, Utalii, Uwezeshaji na Habari ya Baraza la Wawakilishi, kuhusu kazi na changamoto za radio hiyo kulia ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo Asha Bakar Makame, akifuatiwa na Naibu Waziri wa Habari Hindi Hamad Khamis wakati kamati hiyo ilipotembelea kituo hicho jana