Mtu ameulizia, maana ya KAMA NINI Mimi kwanza namwambia, lugha sio yake fani Mana angelitambua, maana ya kama nini Kama nini maanaye mithiliye huioni
Siyagawi Kama Njugu
Published on :Mapenzi kitu azizi, katujalia Manani Mapenzi yatoka enzi,si ya leo duniani Mapenzi ni ya Mwenyezi, kashusha kwa insani Siligawi kama njugu, pendo langu nawambia