Wajinga ndio waliwao Waswahili walisema… Sijui kama huo msemo Wanao…maana mimi Siku nyingi duniani nimehama Na yalioko huko sinayo Na ndipo wafanyao Wanapovinjari na jeuri Wengineo wanatizama Wanyonge na wamekosa ari Kwa vitendo na zao kalima Mapuuza…wakifanya Si letu? Wengineo huo wasema Letu sote basi nalitote Umma hausemi Maana kwa […]
